Monday 14 March 2022

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAKAGUA UJENZI WA KIWANDA CHA MATARUMA CHA SGR WILAYANI KISHAPU, MKOANI SHINYANGA


Mkurugenzi wa Miundombinu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Faustine Kataraiya, akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Selemani Kakoso (wa tatu Kulia) pamoja na wajumbe, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Kiwanda cha mataruma cha reli ya Kisasa ya SGR, Sehem



Meneja Mradi wa Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR, Sehemu ya Mwanza-Isaka (KM 341), Mhandisi Masanja Machibya akifafanua kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Selemani Kakoso (Kulia) na wajumbe kuhusu Kiwanda cha mataruma cha reli ya Kisasa ya SGR kupitia michoro, kinachojengwa Wilayani Kishapu, Mkoani Shinyanga, wakati kamati hiyo ilipotembelea mradi huo mwishoni mwa wiki.



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso akitoa maelekezo kwa Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), wakati Kamati hiyo ilipotembelea Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR, sehemu ya Mwanza-Isaka (KM 341) eneo la Seke, Wilayani Kishapu, Mkoani Shinyanga.




Muonekano wa kipande cha Reli ya Kisasa ya SGR, Sehemu ya Mwanza-Isaka (KM 341) kilichotandikwa katika eneo la Seke, Wilayani Kishapu, Mkoani Shinyanga.



Muonekano wa hatua za awali za ujenzi wa Kiwanda cha mataruma cha reli ya Kisasa ya SGR, kinachojengwa Wilayani Kishapu, Mkoani Shinyanga. Kiwanda hicho ni sehemu ya mradi wa Mwanza-Isaka (KM 341) ambapo ujenzi wake mradi umefikia asilimia 4.






 

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA