Sunday 13 April 2014

MAADILI SUFURI WANAFUNZI IRINGA WAFANYA MASHINDANO YA KUNYONYANA NDIMI MSHINDI AJINYAKULIA TSH. 250,000,00!! ONA HAPA

Lucy, Salama na Amina wakishindana
Raheli na Suzy wakiwa kwenye hisia kali za kunyonyana ndimi hadi mshindi apatikane.
Hawa Xdeejayz haikupata majina yao nao pia wakiwa kwenye kwenye shindano hilo. 

Angel na Monalisa kulia wakiwa bize kuhakikisha mshindi anapatikana bila upendeleo
Na Mwandishi wa Xdeejayz- Iringa
Hakika ni ukweli kwamba taifa letu la tanzania linakwenda kuangamia kwa kwani vijana wengi tunaowategemea kuwa viongozi wa kesho na tegemeo kwa tafia hili wameendelea kuonesha tabia za ajabu kiasi cha kuogopesha.
Wasichana kadhaa wanaosoma kwenye chuo kimoja maarufu mkoani Iringa jina linahifadhiwa wamenaswa na kamera za Xdeejayz wakifanya part ya kushindana kunyonyana mate hadi mshindi kupatikana.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichopenya hadi kwenye part hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi

Hata kwa kweli hatari kubwa sana kwa matukio ya wakina wanafunzi hao wa vyuo kwani kiukweli taifa letu liko hatarini kukosa viongozi baadae kwani kwa vitendo hivi hakika hapo hakuna kiongozi mtarajiwa.
Msomaji mmoja wa Blog hii aliyejitambulisha kwa jina la Nyakulinga alisema " Yani hii ni hatari upuuzi huu kweli tutategemea kupata mawaziri hapa au rais wa nchi? Hawa viongozi tuliokuwa nao sasa hawakuwa hivi ndiyo maana wanatuongoza lakini kama wangekuwa hivi na wao leo hii tusingepata viongozi bora" Alisema mzee huyo hadi machozi kumtoka kwa uchungu.
Katika shindano hilo msindi alikuwa Salama na Suzy ambao ambao walijinyakulia kitita cha shilingi milioni mbili na nusu.
CREDIT: XDEEJAYZ TANZANI

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA