SUGU AMPIGA KIJEMBEWAZIRI MAGUFULI
Akichangia
jioni hii Mhe Sugu amesema kuwa Mhe Magufuli hafanyi kazi kitaalamu
bali anapiga siasa tuu ili kupumbaza watu. Amesema kuwa hizo barabara
anazojisifia na zinazotumia mabilioni mbona baada ya miezi michache
zinafumuka na kuhitaji matengenezo makubwa wakati kuna barabara za
zamani kama Makambako -Songea ni za zamani na bado zinahimili zaidi ya
hizi?
Pia
amezungumzia makampuni ya kigeni kama Strabag kuwazulumu vibarua wazawa
naye kukaa kimya kwa hilo zaidi ya kujisifia binafsi.
Kamaliza na kusema kama anajipigia debe la urais huko asahau bali mahali panapo msahili ni jela kwa kushiriki kwake ubadhilifu.
0 comments:
Post a Comment