Thursday 26 June 2014

ROSE MUHANDO KUZINDUA FACEBOOK AGOSTI 3/2014


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu ka FACEBOOK ya mwimbaji wa muziki wa injili anayevuma Rose Muhando utakaofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Agosti 3 /2014 jijini Dar es salaam, ambapo amesema baadhi ya mapato yatakwenda kuviwezesha mitaji zaidi ya vituo 10 vya watoto yatima jijini Dar es salaam.
3Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akifafanua zaidi  kwa waandishi kuhusu uzinduzi huo unaoarajiwa kuwa mkubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa waimbaji wa muziki wa injili.4Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akiwaeleza zaidi  waandishi na kusema taarifa zaidi zitaendelea kutolewa ili kuwajulisha mashabiki wa muziki wa injili juu ya uzinduzi huo.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA