YAMETIMIA**HEMEDY PHD NIMESHA CHAFUA SANA SASA NATAKA KUOA CHEKI PICHA ZA MCHUMBA WAKE HAPA HATAR
05:07 |
No Comments |
muna akiwa kwenye pozi tata
Msanii wa filamu nchini Hemedy aka PHD mwenye mikogo kuzidi mabilioni ya Dr dre amesema baada ya kuchafua sana sasa anataka kutulia na kuoa kabisa.Hemedy alisema hayo alipokuwa akiongea na paparazi, Phd alisema kuwa "Nimechafua sana more than sana nikaona hii bora iishe maana mama yangu anataka vitu ving kutoka kwangu so nimepata msichana ninaye mpenda na yeye ananipenda so natarajia kufunga ndoa mwezi november
huyu ndiyo mchumba wa Hemedy anaitwa Muna aka Momo
Hemedy akiwa na mchumba wake Muna
Msanii wa filamu nchini Hemedy aka PHD mwenye mikogo kuzidi mabilioni ya Dr dre amesema baada ya kuchafua sana sasa anataka kutulia na kuoa kabisa.Hemedy alisema hayo alipokuwa akiongea na paparazi, Phd alisema kuwa "Nimechafua sana more than sana nikaona hii bora iishe maana mama yangu anataka vitu ving kutoka kwangu so nimepata msichana ninaye mpenda na yeye ananipenda so natarajia kufunga ndoa mwezi november

Related Posts:
STARTIMES YAMLETA NCHINI MCHEZAJI KANU WA NIGERIA KUZINDUA DUKA JENGO LA MKUKI MALL Mchezaji wa zamani wa Nigeria, Nwankwo Kanu akizungumza na wanahabari baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)… Read More
WAFUNGWA WANAOSUBIRI KUNYONGWA MAGEREZANI WAFIKIA 465 IDADI ya Watanzania wanaosubiri kunyongwa imekuwa ikiongezeka na hadi sasa imefikia 465 kutokana na hukumu ya kifo kutotekelezwa tangu mwaka 1994… Read More
LUNDENGA ASIKITISHWA NA MANENO YA MTANDAONI KUHUSU HOYCE TEMU (AUDIO) Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (pichani) amezungumza na Modewjiblog kuhusu habari zilizosambaa katika mitandao ya kijamii k… Read More
TCRA YATOA ONYO KWA WANAO FLASH SIMU,HII NDIYO ADHABU ITAKAYOWAPATA Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Innocent Mungy akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu tathmini ya hali halisi kue… Read More
MWINJILISTI AFUNGUKA::MANABII WA UONGO JITOKEZENI MUWAOMBE RADHI WATANZANIA Mwinjilisti wa Kanisa la Calvary la huduma ya Injili la maumivu ya uponyaji la Mwenge jijini Dar es Salaam Daudi Mashimo amewataka watumish… Read More
0 comments:
Post a Comment