MTOTO AZALIWA NA MKIA , AABUDIWA KAMA MUNGU,INDIA
05:13 |
No Comments |
Mvulana mdogo aliyezaliwa na mkia unaofikia urefu wa inch saba anatarajia kufanyiwa upasuaji ili utolewe licha ya kuwa anaabudiwa kama Mungu na watu wa jamii yake.
Arshid Ali Khan, mwenye miaka 13 anaweza kuathiriwa ukuaji wake kutokana na mkia huo ingawa unamfanya aonekana kama alama ya uponyaji katika Jimbo la Punjab, India.
Mtoto huyo anayetumia kiti cha watu wenye ulemavu amekuwa akiabudiwa na watu wa jamii yake kama Mungu aliyepewa jina la Balaji.
Khan anasema mkia huo amepewa na Mungu na anaabudiwa kwasababu ni Mungu huyo huyo ndiye anayemuomba ambapo maombi ya watu hugeuka kuwa kweli.
Anasema hajisikii vizuri wala vibaya kuwa na mkia huo yeye anaona sawa tu.
Arshid sasa anaishi na babu yake Iqbal Qureshi, na wajomba zake wawili baada ya baba yake kufariki akiwa na umri wa miaka sita na mama yake kuolewa tena.
Related Posts:
MAAJABU : BINTI ALIYEZIKWA AIBUKIA KWAO Witness Obed (21) aliyefariki dunia Aprili 12 mwaka huu na kuzikwa kwenye makaburi ya nyumbani kwao Kijiji cha Nanja, mkoani Arusha na kuib… Read More
MWANAFUNZI AUA WATU SITA KWA WAKATI MMOJA, NI MTOTO WA MTAYARISHAJI MAARUFU WA FILAMU muuaji Polisi nchini Marekani wamethibitisha kuwa kijana Elliot Rodger mwenye miaka 22 ambaye ni mtoto wa mtengeneza filamu maarufu, ndie aliy… Read More
MTOTO MWENYE JUMLA YA VIDOLE 34..!! ANGALIA PICHA Motto mdogo amewashangaza walio wengi baada ya kuzaliwa na vidole 34…Akshat Saxena ana vidole 7 katika kila mkono wake na pia ana vidole 10 … Read More
SAKATA LA MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOX MIAKA 4 LAZUA SURA MPYA, NYUMBANI KWA MTUHUMIWA LAKUTWA SHIMO KUBWA LA MAJI Nasra akiwa na mama anayemlea kwa sasa Josephin Joel kutoka kambi ya ya wazee ya Fungafunga iliopo mjini hapa, akiwa katika chumba c… Read More
MAUAJI YA KUSIKITISHA WAMACHINGA WAMUUA ASKARI KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida vijana wanaodaiwa ni Wamachinga wamemuua askari mmoja wa Jiji la Dar es Salaam kwa kumpiga na stuli k… Read More
0 comments:
Post a Comment