MTOTO AZALIWA NA MKIA , AABUDIWA KAMA MUNGU,INDIA
05:13 |
No Comments |
Mvulana mdogo aliyezaliwa na mkia unaofikia urefu wa inch saba anatarajia kufanyiwa upasuaji ili utolewe licha ya kuwa anaabudiwa kama Mungu na watu wa jamii yake.
Arshid Ali Khan, mwenye miaka 13 anaweza kuathiriwa ukuaji wake kutokana na mkia huo ingawa unamfanya aonekana kama alama ya uponyaji katika Jimbo la Punjab, India.
Mtoto huyo anayetumia kiti cha watu wenye ulemavu amekuwa akiabudiwa na watu wa jamii yake kama Mungu aliyepewa jina la Balaji.
Khan anasema mkia huo amepewa na Mungu na anaabudiwa kwasababu ni Mungu huyo huyo ndiye anayemuomba ambapo maombi ya watu hugeuka kuwa kweli.
Anasema hajisikii vizuri wala vibaya kuwa na mkia huo yeye anaona sawa tu.
Arshid sasa anaishi na babu yake Iqbal Qureshi, na wajomba zake wawili baada ya baba yake kufariki akiwa na umri wa miaka sita na mama yake kuolewa tena.
Related Posts:
REBECCA MALOPE ALITIKISA JIJI LA MWANZA , AFANYA MAMBO MAKUBWA CCM KIRUMBA Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini Rebecca Malope akifanya mambo makubwa mbel… Read More
MAMBA ALIYEKUWA AKIISHI KWENYE MAKAZI YA WATU KINONDONI JIJINI DAR AUWAWA Yule Mamba aliyekuwa akiishi kwenye makazi ya watu Kinondoni Block 41, jijini Dar es Salaam hatimaye leo May 4, 2014 ameuliwa kwa kupi… Read More
45 year old Man impregnates 16-yr-old daughter in Ibadan Every day we hear all kinds of horrible news. A 45 year old man, Ahmed Akintola was remanded yesterday in Agodi prison for allegedly raping a… Read More
ANGALIA PICHA MAJI YA MTO YAGEUKA DAMU HUKO SWITZERLAND The River Lotzwil (Bern, Switzerland) has suddenly turned blood red. Scientists say they have absolutely no explanation. Others p… Read More
HABARI YA KUSIKITISHA: PADRI WA KANISA KATOLIKI NA KATEKISTA WAFA AJALINI WAKATI WA MAPOKEZI YA ASKOFU NYAISONGA Askofu Gervas Nyaisonga wa jimbo la Katoliki la Mpanda akisalimiana na Mapadri wa jimbo hilo katika eneo la mto koga Hapo jana ambap… Read More
0 comments:
Post a Comment