Tuesday 16 September 2014

DUNIA IMEKWISHA: MWANAMKE AWABAKA WATOTO WA KIUME WAWILI , AWALAZIMISHA WAMUINGILIE KIMWILI USIKU WA MANANE!


Vitendo vya ngono nchini Uganda vimesababisha maambukizi makubwa ya Ukimwi. Mwanamke wa miaka 37, aliyefahamika kwa jina moja la Adong anashikiliwa na Polisi huko mjini Gulu nchini Uganda kwa kosa la kuwaingilia watoto wawili wa kiume wenye umri wa miaka 14 na 15 ambao vilevile ni wenye undugu na yeye!
Aliwaingilia watoto hao alipokwenda kuwatembelea wazazi wao na ndipo usiku akanyata na kuingia chumbani mwao na kuwashawishi bila aibu wamle uroda! Ilitokea baba yao aliwasikia wanae wakijadili juu ya "utamu" na ndipo akaiarifu polis nao hawakuzubaa na kumtia ndani. Akitiwa hatiani anaweza kufungwa miaka 7 au maisha! Mambo hayo! Taarifa zaidi tutawaletea tukizipata...!
                             >>>>HABARI KALI ZAIDI BOFYA HAPA<<<<

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA