Saturday, 27 September 2014

LIVERPOOL WABWNA MBAVU NA EVERTON








Liverpool ilijipatia bao la kuongoza mnamo dakika ya 56 lilowekwa kambani na nahodha Steven Gerrad ila Sherehe hyo ilitibuliwa katika dakika za lala salam kwa shutin la umbali wa mita 40 na kiungo Jagielka hivyo ngoma kuisha kwa suluhu ya moja moja

Related Posts:

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA