Alicia Keys Mwenye Miaka (33) Mama Wa Mtoto Mmoja Kwa Sasa Ana Ujauzito Wa Miezi 7 Alifanya Balaa La Kuimba Kwa Sauti Ya Juu Isivyo Kawaida Katika Hafla Ya MTV-EMAs Alicia Alistaajabisha Mashabiki Kwa Uwezo Wake Wa Kumiliki Jukwaa Kwa Kuimba Na Kucheza .
MAKAMU WA RAIS WA MALDIVES AKAMATWA
Makamu wa Rais wa Maldives, Ahmed Adeeb leo amekamatwa akituhumiwa kutaka kumuua rais wake, Abdulla Yameen.
MAKAMU wa Rais wa Maldives, Ahmed…Read More
WAHAMIAJI : NCHI ZA ULAYA ZAKOSOLEWA
Laurent Fabius
Waziri wa mashauri ya kigeni nchini Ufaransa Laurent Fabius ameelezea hisia za baadhi ya nchi za ulaya dhidi ya suala la uhamiji ku…Read More