Thursday 8 January 2015

NOMAA:MREMBO AAMUA KUTOLEWA MBAVU ILI AWE NA UMBO MATATA..CHEKI PICHA



Mwanamitindo na stripper maarufu kutoka Miami ‘Estrelle’ amefanya maamuzi ya mugumu ili kupata muonekano aupendao. Model huyu wa video na matangazo amekubali kutolewa mbavu zake mbili ili apate umbo namba 8.



Mwana mitindo huyu alikwenda Miami kwenye hospitali maarufu inayofanya zoezi hilo ambalo limetajwa kuwa ni hatai sana na kupona kwa mgonjwa inaweza kuchukua mpaka miezi 6 kupona.




Baada ya zoezi kufanyika alikuwa hivi.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA