SIMBA YACHAPWA NA MBEYA CITY TAIFA
08:30 |
No Comments |
Mechi hiyo ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) imepigwa muda mfupi uliopita katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Simba hivi karibuni ilipoteza mechi yake ya nyumbani baada ya kupigwa na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Taifa, Dar kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam FC majuzi.
-Eddy
Related Posts:
OFFICIAL : ALEXIS SANCHEZ NI MCHEZAJI WA ARSENAL FC Picha kadhaa Baada ya Kumalizika Vipimo Vya Afya.Hizo jezi ni za Mazoezi..Arsenal wanategemea Kutambulisha Jezi Mpya Wiki Ijayo … Read More
COSTA RICA YAPETA ROBO FAINALI KOMBE LA DUNIA KWA MIKWAJU YA PENATI 5-3 DHIDI YA UGIRIKI COSTA Rica wamefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya kombe la dunia kwa kuifunga Ugiriki kwa mikwaju ya penati 5-3 baada ya dakika za ka… Read More
MAJANGA::NEYMAR KUIKOSOA UJERUMANI NUSU FAINALI, AKIMBIZWA HOSPITALI, SCOLARI ATHIBITISHA Neymar akiwa amelala chini baada ya kupata majeruhi ya mgongo dakika tatu kabla ya mechi kumalizika. NYOTA wa Brazil, Neymar, … Read More
BRAZIL YAFA KIFO CHA MENDE KWA UJERUMANI::YACHAPWA WIKI (7-1) UJERUMANI imetinga Fainali ya Kombe la Dunia, baada ya kuwafumua wenyeji, Brazil mabao 7-1 katika mcheo wa Nusu Fainali uliofanyika Uwanja wa… Read More
TETESI ZA UASJILI KATIKA SOKA ,ULAYA Uhamisho wa Luis Suarez kutoka Liverpool kwenda Barcelona bado unasuasua kutokana na kutokubaliana jinsi ya kukamilisha ada ya pauni milioni … Read More
0 comments:
Post a Comment