SAKATA LA MREMA KUWA NA UKIMWI LATINGA BUNGENI, AMSHUSHIA SHUTUMA NZITO JAMES MBATIA
00:37 |
No Comments |
Mbunge wa Vunjo Dkt Augustine Mrema (TLP) ametoa shutuma zake bungeni Dodoma akimtuhumu mbunge wa kuteuliwa na rais James Mbatia kuwa amekuwa akimpakazia mambo mabaya kwa wapiga kura wa jimbo lake kuwa ana UKIMWI
Mrema amesema kuwa mbunge huyo amekuwa akipita jimboni kwa kwake na kusema kuwa wasimchague mbunge huyo kwa kuwa ana UKIMWI na hana maisha marefu hapa duniani
Ametoa kauli hiyo bungeni Dodoma na kusema "Napenda kusema kuwa mimi ni mbunge halali wa Vunjo na Mbatia hatapata jimbo hilo, na natangaza kuwa nitagombea tena na hafi mtu hapa"
Amesema ataendelea na shughuli zake jimboni mwake kama kawaida kwa kuwa yupo imara kiafya.
-EddyBlog.
Related Posts:
MACHINGA WAMTAKA LOWASSA ACHUKUE FOMU YA URAIS Wawakilishi wa Shirika la Umoja wa wamachinga Tanzania SHIUMA,pamoja na viongozi wa UVCCM kata za jiji la Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja … Read More
IGP ERNEST MANGU AWAAPISHA MAKAMISHNA WAPYA WA JESHI LA POLISI NCHINI Kamishna wa Polisi Elice Mapunda akila kiapo mbele ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu baada ya kupandishwa cheo na Mhe. Rais wa … Read More
VIDEO:ANGALIA SEHEMU KIDOGO ZITTO AKIONGEA BUNGENI LEO JUU YA KUACHA UBUNGE BOFYA HAPA KUIONA… Read More
KAULI YA TANESCO KUHUSU UMEME KUKATIKAKATIKA MARA KWA MARA Shirika la umeme nchni-Tanesco-limesema hakuna mgao wa umeme na kilichojitokeza kufuatia kukatika kwa umeme mara kwa mara kuanzia … Read More
MH.LOWASA AWAHAKIKISHIA MASHEIHK WA BAGAMOYO KUWA ATAGOMBEA URAIS MASHEIKH wapatao 83 kutoka Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, leo wamemkabidhi kiasi cha shilingi 700,000/- za kuongezea kuchukua fomu ya kuwa… Read More
0 comments:
Post a Comment