HIVI NDIVYO SAFARI YA MWISHO YA ABDUL BONGE ILIVYOKUWA KUTOKA DAR KWENDA MORO
Wakati mwili wake ulipowasili nyumbani kwake kutoka Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi, umati wa waombolezaji uliangua kilio na kusababisha hali ya kutosikilizana.
(PICHA : RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY / GPL)
0 comments:
Post a Comment