Thursday 17 July 2014

TONI KROOS AJIFUNGA MIAKA SITA REAL MADRID


Real deal: Toni Kroos has signed for Real Madrid from Bayern Munich for £24m
Dili limakamilika: Toni Kroos amesaini mkataba na klabu ya Real Madrid kwa dau la paundi milioni 24 kutokea klabu ya Bayern Munich.
TONI Kroos amekamilisha uhamisho wa paundi milioni 24 kujiunga na klabu ya Real Madrid ya Hispania kutoka kwa mabingwa wa Bundesliga, Bayern Munich.
Mabingwa hao wa Ujerumani wametangaza leo asubuhi kuwa wamefikia makubaliano ya pande zote mbili na nyota huyo anaondoka muda wowote.
Mkataba wa Kroos ulikuwa unamalizika majira ya kiangazi mwakani na mshindi huyo wa kombe la dunia amesaini mkataba wa miaka sita katika dimba la Santiago Bernabeu.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA