Tuesday 7 April 2015

MAN CITY YAFIA UGENINI, YATANDIKWA 2-1 NA PALACE


 Bao la Yaya Toure halikuweza kuiokoa Manchester City kukutana na kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Crystal Palace.
Bao hilo lilibaki kuwa la kufutia machozi huku yale yaliyofungwa na Glenn Murray na Puncheon yakiipa Palace ushindi huo murua.
Kipigo hicho cha ugenini, maana yake City inazidi kuyumba katika mbioni za kutetea ubingwa na sasa inajikita katika nafasi ya tatu huku Arsenal ikibaki namba mbili.
Crystal Palace: Speroni, Ward, Dann, Delaney, Kelly, Zaha, Ledley, McArthur, Bolasie, Puncheon, Murray.
Subs: Hangeland, Sanogo, Hennessey, Gayle, Ameobi, Boateng, Souare.
Man City: Hart, Sagna, Kompany, Demichelis, Clichy, Jesus Navas, Fernandinho, Toure, Silva, Aguero, Dzeko.
Subs: Zabaleta, Fernando, Milner, Nasri, Caballero, Lampard, Mangala.
Referee: Michael Oliver (Northumberland)






Kufuatia kipigo hicho sasa msimamo wa ligi upo hivi.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA