Friday 19 June 2015

VIJANA WAHAMASIKA, ZOEZI LA UANDIKISHAJI BVR MKOANI KILIMANJARO


Pichani ni baadhi ya vijana waliojitokeza asubuhi hii katika kituo cha uandikishaji vitambukisho vya kupiga kura (BVR) katika kituo cha chuo cha VETA Moshi mjini.


Wakizungumza na mtandao huu vijana hao wameeleza kuwa kipindi hiki wamehamasika kwani wametambua ni haki yao ya msingi kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.



Baadhi ya waliojitokeza katika zoezi la uandikishaji
Kijana mmoja akiwa katika hatua ya kupigwa picha ili kupata kitambulisho
Vijana wamehamasika na wapo tayari kujiandikisha

Picha na Dickson Mulashani 

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA