Friday 28 August 2015

Q CHILLAH AACHANA NA DAWA ZA KULEVYA



Neno moja huweza kubadilisha maisha ya mtu, hayo yamemkuta msanii wa muziki nchini Tanzania
Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Abubakar Shaaban Katwila almaarufu Q Chillah aliyekuwa ameathiriwa na dawa za kulevya kiasi cha kushindwa kuendelea kuiburudisha hadhira, ameamua kuitoa siri yake kwa BBC namna alivyoweza kuachana na uraibu, sababu kubwa ni neno aliloguswa kutoka kwa bintiye.
Sikiliza mahojiano yake na Anord Kayanda.BBC 

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA