Monday 24 August 2015

SUAREZ AIBEBA BARCELONA ,MESSI AKIKOSA PENATI

Generated by IJG JPEG Library




Generated by IJG JPEG LibraryKlabu ya FC Barcelona imeshuka uwanjani kucheza mechi yake ya kwanza Ligi KuuHispania, FC Barcelona imeingia uwanjani kucheza na klabu ya Athletic Bilbao ikiwa ni wiki moja imepita toka ipokee kipigo kutoka kwa Athletic Bilbao katika mchezo wa Super Cup.
August 23 FC Barcelona imerudi kucheza mechi ya Ligi Kuu na Athletic Bilbao ila imefuta uteja wa kukosa ubingwa wa Super Cup ila katika mchezo wa Ligi Athletic Bilbao imekubali kipigo cha goli 1-0, goli pekee la dakika ya 54 kutoka kwa Luis Suarezliliwafanya FC Barcelona kuondoka na point 3 muhimu.
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library

Generated by IJG JPEG Library

 
485015660
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library


0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA