Friday 11 September 2015

HUYU NDIYE MUFTI MPYA WA TANZANIA,BAADA YA KIKAO CHA BAKWATA

Aliyekuwa mmoja wa wajumbe wa Baraza kuu la Ulamaa BAKWATA, Sheikh Abubakar Zuberi, amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu Tanzania (MUFTI) kufuatia kifo cha aliyekuwa Mufti Mkuu, Sheikh Idd Shaaban Simba.. Kabla ya uchaguzi huo, Sheikh Abubakary Zubeir, alikuwa Kaimu Mufti wa Tanzania kwa kipindi cha mpito.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA