Thursday 29 October 2015

MAGUFULI RAIS MTEULE WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Image result for magufuli-ashinda.html


Dr. John Pombe Magufuli ametangazwa Rasmi na Jaji Luvuba kuwa ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

FUNGUKA LIVE.COM inachukua fursa hii kumpongeza kwa ushindi huo na pia kuwataka watanzania kugeukia shughuli za kimaendeleo na kuziweka pembeni tofauti za kiitikadi.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA