Wednesday 2 March 2016

BEI YA UMEMEKUSHUKA

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari.

“TANESCO wamewasilisha ombi husika kulingana na kifungu NA. 24(2) cha Sheria ya Umeme Naa. 131 kinachoitaka mamlaka kufanya mabadiliko ya bei zinazotozwa kwa mtoa huduma mara moja kila baada ya miaka mitatu,
“Pendekezo la wastani wa badiliko la umeme ni asilimia 1.1 kuanzia Aprili, 1 mwaka huu na asilimia 7.9 kuanzia Januari, 1,  2017,” alisema Ngamlagosi.
Alisema kuwa mujibu wa kifungu Na. 19(2) (b) cha sheria za EWURA, sura NA. 414 wanatakiwa kuanzisha mchakato wa kupata maoni ya wadau ili kujua uhalali wa maombi ya mapendekezo ya bei za huduma iliyoyapokea kutoka TANESCO.
Aliongeza kuwa mkutano wa kukusanya maoni kutoka kwa wadau utafanyika Machi, 4 jijini Sa res Salaam.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA