BEI YA UMEMEKUSHUKA
Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari.
|
“TANESCO
wamewasilisha ombi husika kulingana na kifungu NA. 24(2) cha Sheria ya
Umeme Naa. 131 kinachoitaka mamlaka kufanya mabadiliko ya bei
zinazotozwa kwa mtoa huduma mara moja kila baada ya miaka mitatu,
“Pendekezo
la wastani wa badiliko la umeme ni asilimia 1.1 kuanzia Aprili, 1 mwaka
huu na asilimia 7.9 kuanzia Januari, 1, 2017,” alisema Ngamlagosi.
Alisema
kuwa mujibu wa kifungu Na. 19(2) (b) cha sheria za EWURA, sura NA. 414
wanatakiwa kuanzisha mchakato wa kupata maoni ya wadau ili kujua uhalali
wa maombi ya mapendekezo ya bei za huduma iliyoyapokea kutoka TANESCO.
Aliongeza kuwa mkutano wa kukusanya maoni kutoka kwa wadau utafanyika Machi, 4 jijini Sa res Salaam.
0 comments:
Post a Comment