LEICESTER CITY WAKABIDHIWA RASMI UBINGWA NA KUTOA ZAWADI YA 3 - 1 DHIDI YA EVERTON
Mabao ya Leicester yamefungwa na baada ya ushindi wa 3-1 Jamie Vardy mawili moja kwa penalti, huku pia akikosa penalti moja na lingine Andy King, wakati la Everton limefungwa na Kevin Mirallas.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
0 comments:
Post a Comment