Kikosi cha kwanza cha timu ya Soka ya Tanzania -Taifa Stars kilichoanza dhidi ya Harambee Stars ya Kenya Jumapili.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Elias Maguli (Kulia) akichuana na David Odhiambo wakati wa mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliofanyika Uwanja wa Moi Kasarani, Nairobi Kenya. timu hizo zilitosahana nguvu kwa kutoka sara ya 1-1.
Winga wa Taifa Stars, Shiza Ramadhani akichuana na beki Joakins Atudo wa Harambee Stars katika mchezo huo.
CHELSEA YAPETA LIGI KUU ENGLAND
Diego
Costa wa Chelsea akiushuhudia mpira ukitinga nyavuni baada ya
kumchambua kipa wa Norwich katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa
Jum…Read More
DOGO WA MAN UNITED AIPARURA ARSENAL
Mshambuliaji
kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu
kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika aa…Read More
0 comments:
Post a Comment