Saturday 7 May 2016

SUNDERLAND YAIRARUA CHELSEA NA KUJIONDOA KATIKA PANGA LA KUSHUKA DARAJA


Sunderland imekwea kutoka timu tatu za chini mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza baada kutoka nyuma na kuifunga Chelsea kwa mabao 3-2.

Goli safi la Diego Costa lilifanya Chelsea iongoze lakini, Wahbi Khazri, akasawazisha kwa shuti zuri.

Nemanja Matic aliongeza bao la pili la Chelsea, kabla ya Sunderland kubadili mchezo katika kipindi cha pili kwa mabao ya Fabio Borini na la tatu la Jermain Defoe.
          Jermain Defoe akiachia shuti lililoandika bao la ushindi kwa Sunderland 
                                             John Terry aliyesujudu akilambwa kadi nyekundu

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA