Wednesday, 15 June 2016

EURO 2016: URENO YA CHRISTIANO RONALDO YATULIZWA NA VIBONDE ICELAND

Ronaldo cuts a frustrated figure as he and Portugal had to settle for a draw in their opening Group F fixture against Iceland on Tuesday
URENO imeanza vibaya kampeni zake za kusaka taji la Euro 2016 baada ya kulazimishwa sare na timu isiyopewa nafasi - Iceland. Luis Nani aliifungia Ureno bao la kuongoza dakika ya 31 lakini Bjarnason akaisawazishia Iceland dakika ya 50 wakati supastaa wa Ureno Cristiano Ronaldo akipoteza nafasi ya wazi ya kuifungia nchi yake bao la ushindi.

Nani celebrates after giving Portugal the lead in the evening's second Group F fixture against Iceland at the Geoffroy-Guichard stadium
Nani akishangilia goli lake
Ronaldo akifanya yake wakati akipambana kuibeba timu yake ya taifa
Ukingoni mwa mchezo, Nani alimtumia Ronaldo krosi tamu akiwa ndani ya sita lakini Ronaldo ambaye anaweza kuwa ndiye mfungaji bora wa magoli ya vichwa barani Ulaya, akaishia kupiga mpira uliokwenda mikononi mwa kipa Hannes Halldorsson.
Katika mchezo mwingine Austria ikachapwa 2-0 na Hungary kwa magoli yaliyofungwa na  Adam Szalai na  Zoltan Stieber.
 Vieirinha falls to the floor after missing a cross to the back post as Bjarnason fires the ball into the net past a helpless Rui Patricio
 Vieirinha anaserereka chini baada ya kuukosa mpira na kuruhusu  Bjarnason wa Iceland afunge kirahisi
 Bjarnason jumps for joy and celebrates Iceland's first-ever goal in European Championship history as his team-mates race to join him
Bjarnason akiruka juu na kushangilia goli la kwanza kwa Iceland katika historia ya michuano ya Ulaya

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA