Saturday 10 February 2018

HAWA NDIO WATU WAFUPI ZAIDI DUNIANI WALIO KATIKA MAHUSIANO

Ina aminika kuwa Paulo Gabriel da Silva Barros (32 ) na Katyucia Hoshino ( 28 ) ndio binaadamu wafupi zaidi duniani ambao wapo katika mahusiano. 

Wawili hao wote raia wa Brazil walikutana na kuanzisha mahusiano kupitia mitandao ya kijamii zaidi ya miaka 10 iliyopita.
Paulo Gabriel da Silva Barros na Katyucia Hoshino wakijaichia kwa raha zao.
Paulo Gabriel da Silva Barros na Katyucia Hoshino wakifanya manunuzi
                                                                                                      Wakiwa nyumbani kwao

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA