Tuesday 28 June 2016

KOCHA WA TIMU YA TAIFA UINGEREZA AJIUZULU MARA BAADA YA KIPIGO


Akiwa na umri wa miaka 68 kocha Roy Hodgson  ametangaza kuwa amejiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Uingereza  mara baada ya timu yake kupokwa ushindi na kuondolewa katika michuano ya EURO 2016 dhidi ya timu ya taifa ya Iceland.


Uingereza ambayo ilipewa nafasi kubwa katika mechi hiyo ilianza vyema mchezo huo wa hatua ya mtoano kwa Wayne Rooney kupachika bao la kuongoza katika dakika ya nne kwa mkwaju wa penati  Iceland walicharuka na kusawazisha dakika mbili baadae kupitia Ragnar Sigurdsson  na baadae Kolbeinn Sigthorsson  kupachika goli lililoamua hatima ya mchezo pamoja na kibarua cha kocha huyo katika dakika ya 18 ya mchezo.


england-lose-afp-2.jpg
Wachezaji wa Uingereza wakiwa katika hali ya simanzi baada ya kipenga cha mwisho 

Akizungumza na waandishi wa habari kocha Hodgson alithibitisha kuwa wasaidizi wake Ray Lewington na Gary Neville pia wataachia nafasi zao. 

1976-80

Halmstad (Sweden)

Allsvenskan' 1976, 1979

1982

Bristol City

1982

Oddevold (Sweden)

1983-84

Orebro (Sweden)

1985-89

Malmo (Sweden)

Champions 1986, 1988; 'Allsvenskan' 1985-89, Swedish Cup 1986, 1989

1990-92

Neuchatel Xamax (Switzerland)

1992-95

Switzerland

1995-97

Inter Milan (Italy)

UEFA Cup Finalist 1997

1997-98

Blackburn Rovers

1999

Inter Milan

1999-2000

Grasshopper (Switzerland)

2000-01

FC Copenhagen (Denmark)

Superliga 2001; Super Cup 2001

2001

Udinese (Italy)

2002-04

United Arab Emirates

2004-05

Viking (Norway)

2006-07

Finland

2007-10

Fulham

UEFA Europa League Finalist 2010

2010-11

Liverpool

2011-12

West Bromwich Albion

2012-2016


England

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA