Sunday 31 July 2016

WATU 16 WAFARIKI BAADA YA PUTO LA KUPAA ANGANI KUWAKA MOTO


Watu wapatao 16 wamekufa baada ya puto la kuruka kwa kutumia joto kupata moto likiwa angani na kuanguka kisha kuuwa watu wote waliokuwamo nchini Marekani.

Moto huo unaaminika ulitokea katika eneo la kikabu cha kusimamia watu wakati safari hiyo ya anga ikiwa kati kati, na kisha kuanguka chini huko Lockhart maili 30 kutoka Austin.

Mkuu wa polisi wa Kaunti ya Caldwell, ameviambia vyombo vya habari kuwa hakuna mtu aliyenusurika.  

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA