Monday 26 September 2016

TIGO FIESTA YAITIKISA MKOA WA KILIMANJARO


barnaba-na-nandy1 
Wasanii Barnaba na Nandy wakitoa burudani pamoja kwenye tamasha la Tigo Fiesta kwenye uwanja wa Majengo,Moshi mkoani Kilimanjaro usiku wa kuamkia jana.  
                             Barnaba akiendeleza mtiriko wa burudani ya muziki mzuri  
                         Christian Bella naye akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta 
Wasanii Navy Kenzo wakitoa burudani kwenye tamasha la Tigo Fiesta kwenye uwanja wa Majengo,Moshi mkoani Kilimanjaro usiku wa kuamkia jana.
  
                Nay wa Mitego akitoa michano hatari katika jukwaa la Tigo Fiesta 
Msanii Sholo Mwamba akionyesha uhodari wake wa mtindo wa singeli kwenye tamasha la Tigo Fiesta uwanja wa Majengo, Moshi Kilimanjaro usiku wa kuamkia jana. 
Umati wa wakazi wa Moshi waliojitokeza kwa wingi kushuhudia tamasha la Tigo Fiesta usiku wa jana

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA