Aliyewahi kuwa waziri wa Elimu Tanzania Joseph Mungai amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu
Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.
COMEDIAN KINYAMBE AFARIKI DUNIA
Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed
Abdallah "KINYAMBE" amefariki
dunia leo usiku huko nyumbani kwao Mbeya.
Mmoja wa…Read More
0 comments:
Post a Comment