ZAHA AISAIDIA IVORY COAST KUPATA USHINDI DHIDI YA SWEDEN
Wilfried Zaha ametokea benchi na kuisaidia Ivory Coast, kupata ushindi kwa kuifunga Sweden magoli 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Kombe la Mataifa ya Afrika.
Baada ya kutoswa na makocha Roy Hodgson na Sam Allardyce, pamoja na Gareth Southgate, katika timu ya taifa ya Uingereza Zaha ameamua kuichezea nchi yake aliyozaliwa ya Ivory Coast.
Akicheza kwa mara ya kwanza na Ivory Coast mchezaji huyo wa kimataifa aliingia dimbani baada ya mapumziko Zaha, alitoa pande kwa Giovanni Sio aliyefunga goli la pili.
Wilfried Zaha akielekea kupiga krosi iliyozaa goli la ushindi
0 comments:
Post a Comment