Monday 9 January 2017

ZAHA AISAIDIA IVORY COAST KUPATA USHINDI DHIDI YA SWEDEN


Wilfried Zaha ametokea benchi na kuisaidia Ivory Coast, kupata ushindi kwa kuifunga Sweden magoli 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Kombe la Mataifa ya Afrika.

Baada ya kutoswa na makocha Roy Hodgson na Sam Allardyce, pamoja na Gareth Southgate, katika timu ya taifa ya Uingereza Zaha ameamua kuichezea nchi yake aliyozaliwa ya Ivory Coast.
Ivory Coast

Akicheza kwa mara ya kwanza na Ivory Coast mchezaji huyo wa kimataifa aliingia dimbani baada ya mapumziko Zaha, alitoa pande kwa Giovanni Sio aliyefunga goli la pili.
                                       Wilfried Zaha akielekea kupiga krosi iliyozaa goli la ushindi

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA