Monday 17 March 2014

HUU NDIO MUUNDO WA ALAMA ZA UFAULU

  HUU NDIO MUUNDO WA ALAMA ZA UFAULU ULIOTUMIKA NA BARAZA LA MITIHANI....KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 

Kumekuwa na sintofahamu miongoni mwa wadau wengi wa Elimu nchini kutokana na matokeo ya kidato cha nne yaliotolewa mwaka huu wengi wakihoji ni mfumo gani wa upangaji matokeo uliotumika.Aidha wengi wakikosoa kuwa kama utaendelea kutumika basi mustakabali wa elimu ya Tanzania unaelekea pabaya.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA