05:00 |
|
Kumekuwa na sintofahamu miongoni mwa wadau wengi wa Elimu nchini kutokana na matokeo ya kidato cha nne yaliotolewa mwaka huu wengi wakihoji ni mfumo gani wa upangaji matokeo uliotumika.Aidha wengi wakikosoa kuwa kama utaendelea kutumika basi mustakabali wa elimu ya Tanzania unaelekea pabaya.
0 comments:
Post a Comment