‘Nilimshuhudia mume wangu akimbaka mwanangu’
Rehema Saidi akielezea kitendo alichofanyiwa mtoto wake.
Kwa ufupi
Rehema na mumewe Juma Malolo waliishi na watoto wawili; mwenye umri wa mwaka ambaye walimzaa pamoja na mwenye umri wa miaka tisa ambaye (Rehema) alimzaa kwa mwanamume mwingine kabla ya kuolewa mara ya pili.
kwa Habari zaidi pekua Ndani ya Bongo
kwa Habari zaidi pekua Ndani ya Bongo

0 comments:
Post a Comment