WAMEFUFUKA? Man United WAFUZU ROBO FAINALI UEFA
Robin van Persie alifunga mabao matatu na kuisaidia mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Manchester United, kujikatia tiketi ya kushiriki robo fainali ya kombe la kilabu bingwa
barani Ulaya baada ya kuinyuka Olympiakos mabao 3-0 katika mechi ya mkondo wa pili iliyochezwa Old Trafford.
NAYO DORTMUND YAPITA KIBABE
KWA HABARI ZAIDI ZAMA NDANI YA KURASA YA MICHEZO
NAYO DORTMUND YAPITA KIBABE
KWA HABARI ZAIDI ZAMA NDANI YA KURASA YA MICHEZO
0 comments:
Post a Comment