HOSPITAL YA TMJ YANUSURIKA KUUNGUA
Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es Salaam ilizushiwa kuwaka moto baada ya nyumba jirani kulipuka moto, hali iliyosababisha hekaheka kwa wafanyakazi wa hospitali hiyo ya kuwatoa nje wagonjwa kwa tahadhari.
Tahadhari hiyo ilichukuliwa kutokana na wasiwasi kuwa moto huo ungeweza kuvuka na kuingia hospitali lakini ulidhibitiwa na kikosi cha zima moto na kuishia katika nyumba hiyo ya jirani.
na GPL
0 comments:
Post a Comment