UBACHELA BASI::Pep Guardiola amuoa mchumba wake waliyezaa nae watoto 3
08:34 |
No Comments |
Hatimaye kocha wa klabu bingwa ya Ujerumani Bayern Munich, Pep Guardiola amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Cristina Serra leo hii, na bosi huyo wa Bayern na mchumba wake waaliamua kufanya ndoa hiyo kwa kawaida kabisa bila shamra shamra zozote.Ndoa hiyo imefungwa kiserikali huko Matadepera, Catalonia, Spain.Pep na mchumba wake Cristina, kwa pamoja na watoto wao watatu na wazazi wao, walifanya sherehe ndogo kuhalalisha mapenzi yao.Tazama picha hapo chini namna ndoa ya Guardiola ilivyokuwa
Guardiola mwenye shati la kaki na mkewe Cristina mwenye suruali nyeusi pamoja kti jekundu wakisindikizwa na ndugu zao kwenda kufunga ndoa.
Posted by JAFE JACKSON at Friday, May 30, 2014
Related Posts:
MTANZANIA MWINGINE AFANYA MAJARIBIO UJERUMANI, ALIKUWA STAND UNITED MISHETTO (WA TATU KULIA) AKIWA KATIKA MAJARIBIO. Mtanzania mwingine ambaye alikuwa anakipiga katika kikosi cha Stand United, sasa anapambana kupat… Read More
AZAM FC FULL KICHEKO KAGAME CUP Azam FC leo wameweza kuibuka na ushindi wa goli 1-0 mbele ya KCCA ya Uganda kwenye mchezo wa kundi B michuano ya Kagame inayoendelea kutimua vumbi … Read More
STARS KUWEKA KAMBI UTURUKI KUJIANDAA NA MECHI DHIDI YA NIGERIA TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inaweza kwenda kuweka kambi Uturuki mwezi ujao kujiandaa na mchezo wa pili wa Kundi G kufuzu Fainal… Read More
SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA LA LEOPARDS, KIINGILIO BURE ! Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group Imani kajula Akiwa Pamoja na Rais Wa Simba Sport Club Evans Aveva wakati wa Uzinduzi wa Simba Day Dhima y… Read More
GOR MAHIA KATIKA UBORA WAKE, BAADA YA YANGA SASA YAITWANGA KMKM 3-1 KAGAME CUP Gor Mahia wana uhakika wa kutinga robo fainali ya michuano ya Kagame baada ya ushindi wao wa pili leo dhidi ya timu za Tanzania. Jumamosi w… Read More
0 comments:
Post a Comment