Friday 13 June 2014

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUKUTWA AKITAKA KUMLAWITI KIJANA MDOGO ENEO LA RADIO ARUSHA


Kijana mmoja muda huu ambaye jina lake halijafahamika Mara moja amekutwa Bila aibu Akimlawiti mtoto wa miaka 12 maeneo ya PPF Njiro. 
 Tukio zaidi tazama hapa chini 
Amani Athumani aliyembaka Mtoto wa Miaka 12 muda mchache uliopita
Huyu ndiye dogo ambaye amelawitiwa ana umri wa Miaka 12.

 Amani Athumani akiwa Chini ya ulinzi baada ya kukamatwa akiwa anamlawiti kijana wa Miaka 12

 Mashuhuda wakiwa wanamshangaa kijana huyo aliyebaka
 Wananchi wenye Hasira kali wakiwa  wanataka kuanza kumtandika kijana huyo...



-na Arusha yetu Blog

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA