Saturday 21 June 2014

MOTO MKUBWA WATOKEA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM).


Moto uhuu umezuka  karibu na hostel za mabinti katika skuli ya sanaa na lugha (humanities), chanzo cha moto huo hakijajulikana mpaka sasa..... tutakujuza kadri taarifa zitavyozidi kutolewa.

mashuhuda wakipiga picha katika eneo la tukio


0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA