Thursday 12 June 2014

VITUKO VIMEANZA BRAZIL:::MAZOEZI YA ARGENTINA YAVAMIWA NA RONALDINHO `FEKI`, MESSI APIGIWA MAGOTI NA KUFUTWA VIATU


I know you! A fan and Ronaldinho look-alike invaded the pitch as Argentina trained at Belo Horizonte
Star struck: Messi enjoyed the lighter moment in the session as the fan is taken away by an official
Nyota akigoma kutoka: Messi akifurahia wakati shabiki akitolewa na maofisa, kufafana na Ronaldinho kulimfanya Messi acheke sana
MAZOEZI ya Argentina jana jumatano yalivamiwa na mtu moja mwenye sura inayofahamika duniani.
Wakati Lionel Messi na wachezaji wenzake wakijiandaa kuelekea mchezo wa ufunguzi wa kundi lao dhidi ya Bosnia siku ya jumapili, shabiki mmoja mwenye sura inayofanana na nyota wa zamani wa Brazil, Ronaldinho alivamia uwanjani.
Waargentina walimfurahia jamaa huyo lakini alitolewa na maofisa wa uwanja.
Respect: A fan polishes Messi's rght boot after invading the pitch as the World Cup second favourites trained
Comfortable: Messi is at ease with the invader as he give him a hug during the open training session

Mashabiki wengi walivamia uwanjani na kumpigia magoti nahodha huyo wa Argentina, Lionel Messi huku wakifuta viatu vyake.
Messi alicheka tu na aliwakumbatia mashabiki hao na alimpa shabiki mmoja sweta lake kabla ya walinzi kumtoa. 
Mashabiki wengine waliukimbilia mpira ambao Muargentina huyo alikuwa anautumia katika mazoezi.

Fanatical: Hundreds of supporters filled the ground as their team prepared for the group F opener against Bosnia
Ajabu! mamia ya mashabiki wa Argentina walifurika uwanjani wakati timu yao ikijiandaa na mchezo wa ufunguzi wa kundi F dhidi ya Bosnia.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA