Thursday 12 June 2014

TASWIRA HALISI:MABANDA YA WAMACHINGA ENEO LA SOKO LA KARUME YALIVYOUNGUA MOTO


Mabanda ya wamachinga eneo la Soko Karume yameungua na moto.


 Moto ulikuwa ni mkali, na kusambaa  Fire walifika katika eneo la tukio na kuondoka wanaondoka baada ya kukubali kushindwa, hakuna wanachoweza kuokoa. Nguzo za umeme zinaungua pia
. Kuna umati wa watu mkubwa, baadhi wanalia kwa uchungu wakiwa wamejishika kwa kukata tamaa.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA