Wednesday 30 July 2014

HII NDIYO IDADI YA TUZO ALIZOZIPATA LADY JAY DEE MPAKA SASA


IJUE JUMLA YA IDADI YA TUZO ALIZOZIPATA LADY JAYDEE MPAKA SASA__TEAM UKWANZA SOMA HAPAMwanadada Lady Jaydee alimaharufu kama Binti Machozi wa TEAM ANACONDA, leo ameweka wazi kua tangu alipo anza mziki mpaka sasa baada ya kupata tuzo ya mwanamziki bora wa kike wa Afrika Mashariki ya Afrimma iliyofanyika nchini marekani kua ndo tuzo ambayo mpaka sasa imekamilisha idadi ya jumla ya tuzo thelathini (30) ambazo amezipokea mpaka sasa. Hili kaweka wazi leo katika ukurasa wake wa facebook. TEAM UKWANZA inapeleka hongera zake kwa mwanadada Lady Jaydee
(Commando) kwa mafanikio makubwa aliyoyapata kutokana na hii tasnia ya muziki, Hongera sana LADY JAYDEE.
Picha aliyoweka leo na ujumbe wake
""Tuzo yangu ya 30. Asanteni kwa ushirikiano, nimeipokea na ninarudi nayo nyumbani. Shhhhhh! !!! Kimya Kimya""

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA