Thursday, 2 October 2014

HAHA NOMAA :CHEKI VIDEO YA KILICHOMTOKEA SIMBA AKILA MZOGA WA KIBOKO

Mnyama anapokufa, vitu vilivyopo tumboni huwa vya kwanza kuanza kuoza na kusababisha mkusanyiko wa gesi. Wingi wa gesi hiyo mara nyingi husababisha mzoga kuvimba, kama gesi haina njia ya kutoka nje. Mpasuko wa mzoga huo husababisha “mlipuko” kutokana na shinikizo (pressure) linalosababishwa na mkusanyiko wa gesi. Na hicho ndio kilichotokea wakati Simba huyu akijaribu kula mzoga wa kiboko.
 

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA