FURAHA YA MASHABIKI NUSURA IWATOE ROHO WACHEZAJI WA IVORY COAST!!CHEKI PICHA HAPA 09:40 | Kufuzu kwa Ivory Coast kucheza fainali za Africa mwakani kumegubikwa na tukio la mashabiki wa nchini humo kuvamia uwanja kwa furaha baada ya kumalizika mchezo huo dhidi ya Cameroon uliomalizika kwa sare 0-0 huko Abidjan. Share This: Facebook Twitter Google+ Stumble Digg AFRICA, michezo Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook Related Posts:EURO 2106::BEKI PIQUE AIBEBA HISPANIA KATIKA USHINDI WA 1 : 0 Gerad Pique akijitwisha kichwa kilichomshinda Peter Cech na kujaa wavuni na kuipatia Hispania goli pekee na la ushindi Beki wa Barcelona, Gerar… Read MoreBRAZIL YAMTIMUA DUNGA "UKOCHA TIMU YA TAIFA" BRAZIL imemfukuza kazi kocha Carlos Dunga baada ya matokeo mabaya kwenye michuano ya Copa America Centenario inayoendelea nchini Marekani. The S… Read MoreEURO 2016: URENO YA CHRISTIANO RONALDO YATULIZWA NA VIBONDE ICELAND URENO imeanza vibaya kampeni zake za kusaka taji la Euro 2016 baada ya kulazimishwa sare na timu isiyopewa nafasi - Iceland. Luis Nani aliifungia U… Read MoreEURO 2016:: ITALIA YAILIZA UBELIGIJI ,SWEDEN ,IRELAND HAKUNA MBABE Emanuele Giaccherini akiiandikia Italia bao la kwanza ikiwa ni goli lake la kwanza kufunga akiichezea timu ya taifa ITALIA imeianza vyema michua… Read MoreSERENGETI BOYS YAINGIA KAMBINI KUJINOA DHIDI YA SHELI SHELI Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 'Serengeti Boys' imeingia kambini leo Jumanne, kujiandaa na mchezo wa… Read More