MKUU WA WILAYA AAGIZA WANAFUNZI 24 WALIOPATA MIMBA WARIPOTI POLISI
09:30 |
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani,Nurdin Babu ameagiza wanafunzi24 wa Sekondari mbalimbali Wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi November25 mwaka huu ili wasaidie kutoa ushirikiano wa kuwakamata wahusika waliowapa mimba na kuweze kukamatwa.
Sambamba na wanafunzi hao pia wazazi au walezi wa wanafunzi hao wametakiwa kuripoti wakiwa na watoto wao ambapo atazungumza na wazazi pamoja na wanafunzi hao ili kujua tatizo ni nini.
Babu alisema taarifa za watoto 26 walipata ujauzito katika kipindi cha Januari hadi Oktoba si nzuri na lazima hatua za kinidhamu zichukuliwe ili kuondokana na matatizo hayo ndani ya jamii.
Alisema idadi ya wanafunzi waliokatishiwa masomo ni kubwa na Serikali haiwezi kulifumbia macho suala hilo.
-EDDYBLOG
Related Posts:
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. ……………………………………………… Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pomb… Read More
RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ATEUA MAKATIBU WAKUU, MANAIBU MAKATIBU WAKUU NA KAIMU NAIBU KAMISHNA TRA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Ikulu jijini Dar e… Read More
RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JOHN MAGUFULI ATOWA MKONO WA KRISMAS NA MWAKA MPYA KWA WAZEE WA KIJIJI CHA WELEZO ZANZIBAR Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi … Read More
RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni na Sanaa, Bi. Anastazia Wambura (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi,… Read More
UKAGUZI WA VIBALI VYA AJIRA KWA WAGENI KUANZA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu), Bibi. Jenista Mhagama (Mb), akifuatilia maelezo … Read More