JESHI LA POLISI LAPATA AIBU KUBWA, POLISI WAKE AKUTWA AKIFANYA MAPENZI HADHARANI AKIWA AMEVAA SARE ZA JESHI HILO
10:33 |
No Comments |
Unakumbuka ile Stori ya askari Asuma Mpaji na Veronica Nazaremo kufukuzwa kazi Mkoani Kagera baada ya picha zao kusambaa mitandaoni wakionekana kupigana mabusu? safari hii nakuletea tena stori inayofanana na hiyo ambayo imetokea NchiniUingereza.
Polisi wa nchi hiyo ya Uingereza waliamua kumshtaki mwenzao baada ya kufanya kitendo cha kudhalilisha jeshi la nchi la nchi hiyo kwa kufanya tendo la ndoa tena mbele za watu akiwa na sare za kazi.
Kitendo hicho kimemfanya kufukuzwa kazi bila kupewa taarifa za awali haraka baada ya kwenda kwenye shughuli zake za kila siku za usalama na kufanya kitendo hicho huku akijua ni kinyume na sheria tena akiwa amezungukwa na watu.
Msaidizi mkuu wa kituo hicho Russ Middleton alisema wanaamini hatua hiyo itakua fundisho kwa wengine kutokana na kitendo hicho cha udhalilisha.
Kwa upande mwingine polisi mwingine nchini Uruguay naye alikumbwa na mkasa unaofanana na huo baada ya kucheza na mwanamke akiwa uchi katika kituo chake cha kazi.
Picha ya askari huyo zilinaswa na mitandano mbalimbali na kujikuta zikisambaa kwa kasi hali iliyosababisha ashtakiwe kwa kosa hilo.
-EDDY BLOG
Related Posts:
MAJANGA:MWANANKE AFANYA MAPENZI NA SAMAKI ::CHEKI ALICHOSEMA Mwanamke aliyefanya mapenzi na samaki aina ya Dolphin aongea kwa mara ya kwanza. Unaweza kushangaa na kuona ni kitu cha ajabu lakini hii ime… Read More
CHUI AMSHAMBULIA MWANAFUNZI HADI KUMUUA. Picha ya maktana chui akimshambuliaji binadamu.Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wany… Read More
MWANAUME MREFU ZAIDI DUNIANI AFARIKI CHEKI PICHA ZAKE.. internet advertising Leonid Stadnyk, believed to be the world's tallest man at 8ft 4 inches has died. He was just 44. The peasant farmer from t… Read More
MAJANGA:WATUMIAJI WA IPHONE 6 WALALAMIKIA SIMU HIYO KUPINDA MARA TU UWEKAPO MFUKONI Owners of the new iPhone 6 Plus have been left angered as it emerged the phone can bend out of shape simply when stored in a pocket.Since th… Read More
WACHEZA KAMARI WACHAPWA BAKORA MSIKITINI Watu nane walichapwa bakora mbele ya watu 1,000 ndani ya msikiti nchini Indonesia baada ya kuvunja sheria ya Kiislamu kwa kucheza kamari. Mwe… Read More
0 comments:
Post a Comment