Mwili wa Kapteni Komba kuagwa leoo karemjee jijini Dar
08:04 |
No Comments |
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Karimjee.
Mwili huo utaagwa kuanzia saa nne asubuhi kabla ya kusafirishwa kwenda Mbinga kwa maziko siku ya Jumanne.
Kifo cha Marehemu Komba kinakuwa ni pigo jingine kubwa katika tasnia ya Burudani kutokana na mchango wake, na kwa niaba ya wadau wengine wa tasnia hiyo, blog hii iliongea na Asha Baraka kutoka msibani, ambaye alieleza kuwa Kapteni Komba ni mfano wa kuigwa na wasanii Wengine kutokana na kujituma kwake katika sanaa, akiwa pia na mchango mkubwa katika kukitangaza chama cha mapinduzi kupitia sanaa yake hiyo.
Marehemu Kapteni Mstaafu John Komba alifariki dunia juzi kwa tatizo la shinikizo la damu katika hospitali ya TMJ Jijini Dar es Salaam. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahala pema peponi Amina.
Kifo cha Marehemu Komba kinakuwa ni pigo jingine kubwa katika tasnia ya Burudani kutokana na mchango wake, na kwa niaba ya wadau wengine wa tasnia hiyo, blog hii iliongea na Asha Baraka kutoka msibani, ambaye alieleza kuwa Kapteni Komba ni mfano wa kuigwa na wasanii Wengine kutokana na kujituma kwake katika sanaa, akiwa pia na mchango mkubwa katika kukitangaza chama cha mapinduzi kupitia sanaa yake hiyo.
Marehemu Kapteni Mstaafu John Komba alifariki dunia juzi kwa tatizo la shinikizo la damu katika hospitali ya TMJ Jijini Dar es Salaam. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahala pema peponi Amina.
Related Posts:
MUFTI SIMBA KUZIKWA SHINYANGA Dar es Salaam. Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti, Issa Shaaban Bin Simba amefariki dunia jana katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam alikokuwa a… Read More
Mwili wa Kapteni Komba kuagwa leoo karemjee jijini Dar Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaaf… Read More
RAIS KIKWETE AFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU KEPTENI JOHN KOMBA LEO Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda yeye Mama Salma Kikwete kutoa pole na kuifariji familia ya Mbun… Read More
LAANA::MAMA NA MWANAYE WAOANA BAADA YA KUWA NA MAHUSIANO YA JINSIA MOJA "Mimi na Vertasha mwanangu tulianza mahusiano yetu wakat kipindi hicho akiwa na miaka 16 tu.Lakini nilisubiri mpaka afikishe miaka 18 ndip… Read More
RAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA KAPTENI JOHN KOMBA Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa jimbo la Mbinga M… Read More
0 comments:
Post a Comment