YANGA YAZIDI KUJICHIMBIA KILELENI,
08:37 |
No Comments |
Simon Msuva (kushoto) akimkumbatia Mrisho Ngasa huku Danny Mrwanda. Kulia ni Danny Mrwanda baada ya kuifungia kimu yake bao la tatu ambapo Yanga ilishinda 3-1. (Picha zote na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akichuana na Damas
Makwaya wa JKT Ruvu (kushoto), katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
uliofanyika Uwanja wa Taifa leo.
Makwaya wa JKT Ruvu (kushoto), katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
uliofanyika Uwanja wa Taifa leo.
Mrisho Ngasa (kushoto) akichuana na Mohamed Faki.
Damas Makwaya akimtoka Danny Mrwanda.
Wachezaji wa Yanga wakishagilia baada ya kuifunga JKT Ruvu.
Raha ya ushindi.
Uleeeeeeeeeeeeee.
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akimpigia saluti Mrisho
Ngasa mara baada ya kuifungia timu yake bao la tatu dhidi ya JKT Ruvu katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-1.
Ngasa mara baada ya kuifungia timu yake bao la tatu dhidi ya JKT Ruvu katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-1.
Mashabiki wa Yanga wakishangilia.
Related Posts:
KILI STARS KUPAMBANA TENA DHIDI YA ETHIOPIA KATIKA ROBO FAINALI SIKU YA JUMATATU Kili Stars itashuka dimbani Jumatatu kupambana na wenyeji Ethiopia katika mechi ya robo fainali. Wakati Stars imeingia robo fainali kama… Read More
MATUTA YAIONDOA KILIMANJARO STARS KOMBE LA CHALENJI Kikosi cha Kilimanjaro Stars kimeng’olewa katika michuano ya Chalenji baada ya kufungwa katika mechi ya robo fainali kwa mikwaju ya penalti 4-3. … Read More
LIVERPOOL YASHIKWA SHATI NA NEWCASTLE UNITED Hii ndiyo raha ya soka, unayemuona mnyonge, ndiye anayeangusha kigogo. … Read More
CAPITAL ONE CUP: LIVERPOOL YATINGA NUSU FAINALI KWA KISHINDO Timu ya Liverpool imekua timu ya mwisho kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la ligi maarufu kama Capital one . L… Read More
MESSI ABEBA TUZO YA MSHAMBULIAJI BORA LA LIGA Nyota wa Barcelona, Lionel Messi amebeba tuzo ya mshambuliaji bora wa La Liaga. Messi ameshinda tuzo hiyo akiwaangusha washambuliaji wengine wa… Read More
0 comments:
Post a Comment