Saturday 4 April 2015

PICHA::AJALI SIMBA SC, UKAWA SABA WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

>
Gari lililokuwa limebeba wanachama wa Simba SC maarufu Simba Ukawa, ambao wanadaiwa kuwa wapinzani wa uongozi uliopo madarakani chini ya Rais, Evans Aveva wakiwa njiani imepata ajali eneo la Morogoro kuelekea Shinyanga ambako timu yao kesho inamenyana na Kagera Sugar katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Taarifa za awali zinasema watu saba wamepoteza maisha maisha katika ajali hiyo. 

Wanachama wa Simba SC wakiwa wenye majonzi ajalini
Askari wa jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, akichukua taarifa za ajali  

Gari lililopata ajali baada ya kuinuliwa 
-ZUBERI BLOG

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA