Thursday 16 April 2015

UEFA!!SUAREZ ATUPIA MBILI BARCELONA IKIILAZA PSG 3-1 JIJINI PARIS

Tobo mbili alizopigwa beki David Luiz na mshambuliaji Luis Suarez zimezaa mabao mawili na PSG imechezea kipigo cha mabao 3-1 ikiwa nyumbani Paris, Ufaransa.


Mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya nusu fainali ilikuwa tamu na Suarez amefunga mabao mawili, yote akimtoka Luiz na Neymar akafunga moja.

Kwa upande wa PSg walipata bao lao moja kupitia beki Mathieu aliyejifunga baada ya kujaribu kuokoa. Hata hivyo bao hilo limekuwa na utata kuwa apewe aliyepiga shuti au aliyeugonga mpira ukaenda wavuni wakati akiokoa.

PSg inalazimika kushinda bao 2-0 itakapokuwa ugenini Camp Nou ili isonge hadi nusu fainali wakati Barcelona inaonekana kulahisisha kazi.






UEFA!! BAYERN HOI KWA FC PORTO ,YAPIGWA 3-1

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA