18:34 |
|
16/6-22/6/2015 kata za Bondeni, Kilimanjaro, Kiusa,Korongoni na Soweto. 23-29/6/2015 Bomambuzi, Pasua, Shirimatunda, Kaloleni, Mawenzi na Karanga. 30/6/2015 -6/7/2015 Kiborloni, Msaranga, Ng'ambo, Mjimpya na Miembeni. 7/7/2015 -13/7/2015 Rau, Njoro, Majengo,Longuo na Mfumuni. Tafadhali zingatieni ratiba ya kujiandikisha na ujiandikishe kwa wakati. Nenda kajiandikishe kupata kitambulisho ni haki yako na kupiga kura pia chagua kiongozi atakaeleta maendeleo katika jamii yako.
-KING JOFA
Related Posts:
PAUL MAKONDA::MASHOGA DAR ES SALAAM WALINIKALIA KIKAO
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema tangu alipotangaza kuanza kukamatwa kwa mashoga, amebaini kuna mkakati unawaohusisha watu hao … Read More
SHOGA KUHOJIWA :: WABUNGE WATAKA CLOUDS IADHIBIWE
WABUNGE wameiomba serikali kukichukulia hatua kituo cha televisheni, Clouds Tv nchini kwa kukiuka maadili na taaluma ya habari kwa kurusha ki… Read More
TANZIA:: COMEDIAN KUNDAMBANDA AFARIKI DUNIA
Taarifa za awali
zinaeleza kuwa msanii wa vichekesho Ismail Issa Makombe maarufu
zaidi kama KUNDANBANDA amefariki dunia nyumbani kwa… Read More
MKUU WA MKOA WA MWANZA AWAKUMBUKA WENYE UHITAJI
Siku chache kabla ya kusherehekea Siku Kuu ya Idd, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe.John Mongella (pichani), amekabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali ik… Read More
DK. KIGWANGALLA ASIMIKWA UCHIFU WA WANYAMWEZI WA TANZANIA, AAHIDI MAKUBWA
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla amepewa heshim… Read More
0 comments:
Post a Comment